July 2012

Jul 18

July 24/12 Leading Ladies, mostly from East Africa, Share their Words of Wisdom.

Jul 15

Having a dedicated department that has the main objective of developing employees is ideal but not necessary. There are many steps you can take to effectively develop your employees to grow your business. One of the most important qualities of a good leader is the ability and desire to develop their employees.

Jul 10

Communication in organizations is equivalent to the neural network in the human body. If there is a misfire, the organism becomes inefficient or even dysfunctional. I’ve never found a senior manager who says that communications are not important; so why do organizational communications continue to break down despite all of the investment and generally good intentions?

Jul 07
Mgomo huu wa madaktari wa mwaka 2012 ambayo sasa iko katika awamu ya tatu imejadiliwa kwa kirefu na kwa kiina na wengi na mimi sitapenda kutoa chanzo, sababu nk. Ila ningependa kuongelea mada moja ambayo nimeshawahi  kuigusia kwenye blog hii ya IMHO inayohusu utawala wa walio wa kati au uwezo mdogo. Kwa kifupi wale wenye ujuzi na uwezo huwekwa pembeni katika mfumo ambao upo sasa wa kiutawala na uendeshaji kwa ujumla.
Lakini kibaya zaidi mufmo mzima unaonekana kutothamini usomi na ujuzi. Tukiwasikiliza kwa makini madaktari, walimu na wasomi wengine – tunasikia wakisema “sisi mshahara wetu ni …. Na mbunge ambaye hata hajamaliza darasa la saba anapata milioni 10” Tunaweza kuleta mjadala mkubwa kuhusu sentensi hii na kuwaita waroho, au tukawaambia hakuna kinachowasimamisha kugombea ubunge. Lakini tukifanya hivyo tutakuwa hatujaelewa kile kilichojificha katika sentensi hii.
Katika dunia ya leo hasa hapa nchini – tunaweka thamani ya mtu kwa kupima kipato chake. Huu ni ukweli tupende tusipende. Mara ngapi unasikia watu wanasema “Mtu anajiona wa maana kumbe anapanda daladala” . Au “Fulani anajisikia, kumbe anaishi ….” Sentensi kama hizi zinaonyesha wazi kwamba ili ukubalike kuwa una mafanikio katika jamii yetu tunatarajia mtu awe na gari na anaishi maeneo Fulani, akivaa nguo za aina Fulani nk. Kwa kifupi jamii yetu imebadilika na hivi sasa tumekuwa nchi ya walaji (Consumer society) ingawa kama nchi hatuzalishi kile tunachotamani (hatuna viwanda vya magari, nguo, nk). Sasa basi kumiliki gari, nyumba, mavazi etc yanahiitaji pesa. Hivyo kama daktari anashindwa kuendesha Range Rover Vogue, lakini mfanyabiashara aliyeishia darasa la saba akiweza, je hii ni kusema tutamheshimu zaidi mfanyabiashara? Inaelekea ndivyo madaktari wanavyoona. Na kwa Bahati mbaya kwa kuwaambia “kama hamjaridhika ondokeni” – imekuwa kama kuwathibitishia imani yao hii.
Ni vyema tukianza kuthamini watu kwa UJUZI wao na si kwa MALI zao. Kumiliki gari kubwa au nyumba kubwa inaweza ikakufanya uishi kwa starehe zaidi lakini haikuongezi akili au ujuzi. Na pia kama jamii tuache dharau kwa watu. Hata kama mtu hamiliki mali nyingi, tuthamini vipaji, ujuzi na elimu yao. Lakini muhimu zaidi, muda umefika mfumo wote uanze kuthamini kwa pesa na kuwazawadia wale wenye ujuzi na si kuwajali ‘wajanja’.
Utatuzi wa mgomo huu na kutoridhika kwa wasomi ni suala ambalo ni vyema sote tukaitafakari na tukianza kubadilika kimawazo – Change Tanzania! 

{ 0 comments }

Jul 07

Mgomo huu wa madaktari wa mwaka 2012 ambayo sasa iko katika awamu ya tatu imejadiliwa kwa kirefu na kwa kiina na wengi na mimi sitapenda kutoa chanzo, sababu nk. Ila ningependa kuongelea mada moja ambayo nimeshawahi  kuigusia kwenye blog hii ya IM…

Jul 07

Mgomo huu wa madaktari wa mwaka 2012 ambayo sasa iko katika awamu ya tatu imejadiliwa kwa kirefu na kwa kiina na wengi na mimi sitapenda kutoa chanzo, sababu nk. Ila ningependa kuongelea mada moja ambayo nimeshawahi  kuigusia kwenye blog hii ya IM…

Jul 07

Mgomo huu wa madaktari wa mwaka 2012 ambayo sasa iko katika awamu ya tatu imejadiliwa kwa kirefu na kwa kiina na wengi na mimi sitapenda kutoa chanzo, sababu nk. Ila ningependa kuongelea mada moja ambayo nimeshawahi  kuigusia kwenye blog hii ya IM…

Jul 07

ILANGA ARTICLE
lENDONDO ITHI:
Qhubeka ungapheli amandla noma bekuhleka, bekubukela phansi, bekuphazamisa, Qhubeka
Ithi thina siyakubona futhi siyakuzwa
Ithi ungapheli amandla
Ithi nawe Nyuswa, Silindele Primary Shool, KwaNyuswa Primary, Siyajabula High…

Jul 07

Sunday Tribune
This was a true humbling moment, a nomination on its own was big enough, a win was more of a suprise and overwhelming
The work that started in 2004, doing such an amount of work with my own funds, my son not enjoying christmas for years,…

Jul 06

A personality test can provide us with a way to categorized different characteristics or traits that we might otherwise not be aware of.
Additionally, this categorization will help us learn how others might react to something in their environment.

Jul 03

Many of us entrepreneurs have the skill, the spirit, determination and as I said in my previous entry, the helping hand, to grow our businesses to be a profitable thriving enterprise…. Or not.

One of the challenges women have internationally, and has been emphasized in many African countries, is [...]

Jul 03

Email – Friend or Foe?
Email can be a friend or foe. How you use it, organize it, compose it will dictate which category it falls into.

By the time you have read this blog, your in-box will have new mail. Some of it will be for you, some of it won’t, some of it won’t be clear if it’s for you or not, some of it will be important, good chance most of it won’t. All of it has to be read, noted, forwarded, deleted, answered and filed. It all takes time.

Jul 02

Administrator Vacancy

by Gladys Ogallo

Filed in: Expert Perspective, GladysOgallo, Leaders

Tagged as: ,

Our Client is one of the leading developers, implementers and support providers of Payroll and Human Resource Management for small to large organizations in Africa. They are looking for ambitious, self-driven candidate to fill the positions of an Administrator.